Zaburi 106:34 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC34 Hawakuwaangamiza watu wa nchi Kama BWANA alivyowaambia; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema34 Hawakuwaua watu wa mataifa mengine kama Mwenyezi-Mungu alivyowaamuru. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND34 Hawakuwaua watu wa mataifa mengine kama Mwenyezi-Mungu alivyowaamuru. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza34 Hawakuwaua watu wa mataifa mengine kama Mwenyezi-Mungu alivyowaamuru. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu34 Hawakuyaangamiza yale mataifa kama Mwenyezi Mungu alivyowaagiza, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu34 Hawakuyaangamiza yale mataifa kama bwana alivyowaagiza, Tazama sura |