Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 106:32 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

32 Wakamghadhabisha penye maji ya Meriba, Hasara ikampata Musa kwa ajili yao,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

32 Walimkasirisha Mungu penye maji ya Meriba, Mose akapata taabu kwa ajili yao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

32 Walimkasirisha Mungu penye maji ya Meriba, Mose akapata taabu kwa ajili yao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

32 Walimkasirisha Mungu penye maji ya Meriba, Mose akapata taabu kwa ajili yao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

32 Kwenye maji ya Meriba, walimkasirisha Mwenyezi Mungu, janga likampata Musa kwa sababu yao;

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

32 Kwenye maji ya Meriba, walimkasirisha bwana, janga likampata Musa kwa sababu yao;

Tazama sura Nakili




Zaburi 106:32
9 Marejeleo ya Msalaba  

Walimwasi jangwani mara ngapi? Na kumhuzunisha nyikani!


Katika shida uliniita nikakuokoa; Nilikuitikia kutoka maficho yangu ya radi; Nilikujaribu penye maji ya Meriba.


Akapaita mahali pale jina lake Masa, na Meriba kwa sababu ya ugomvi wa wana wa Israeli, na kwa sababu walimjaribu BWANA, wakisema, Je! BWANA yu kati yetu au sivyo?


Na BWANA alinikasirikia mimi kwa ajili yenu, akasema, Wala wewe hutaingia humo;


Lakini BWANA alikuwa amenikasirikia kwa ajili yenu, asinisikize; BWANA akaniambia, Na ikutoshe, usinene nami zaidi jambo hili.


Tena BWANA alinikasirikia kwa ajili yenu, akaapa ya kwamba sitavuka Yordani, na ya kwamba sitaingia nchi ile njema, awapayo BWANA, Mungu wenu, iwe urithi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo