Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 106:31 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

31 Akahesabiwa kuwa ana haki Kizazi baada ya kizazi hata milele.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 Jambo hilo lakumbukwa kwa heshima yake, tangu wakati huo na nyakati zote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 Jambo hilo lakumbukwa kwa heshima yake, tangu wakati huo na nyakati zote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 Jambo hilo lakumbukwa kwa heshima yake, tangu wakati huo na nyakati zote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 Hili likahesabiwa kwake haki, kwa vizazi visivyo na mwisho vijavyo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 Hili likahesabiwa kwake haki, kwa vizazi visivyo na mwisho vijavyo.

Tazama sura Nakili




Zaburi 106:31
5 Marejeleo ya Msalaba  

Akamwamini BWANA, naye akamhesabia jambo hili kuwa haki.


Kisha BWANA akanena na Musa, akamwambia,


Sharti umrudishie rehani lichwapo jua, apate kulala na mavazi yake, na kukubarikia; nayo itakuwa ni haki kwako mbele za BWANA, Mungu wako.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo