Zaburi 106:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC26 Ndipo alipowainulia mkono wake na kuwaapia, Ya kuwa atawaangamiza jangwani, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema26 Hivyo Mungu akainua mkono akaapa kwamba atawaangamizia jangwani; Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND26 Hivyo Mungu akainua mkono akaapa kwamba atawaangamizia jangwani; Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza26 Hivyo Mungu akainua mkono akaapa kwamba atawaangamizia jangwani; Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu26 Kwa hiyo akaapa kwa mkono ulioinuliwa kwamba atawafanya waanguke jangwani, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu26 Kwa hiyo akaapa kwa mkono ulioinuliwa kwamba atawafanya waanguke jangwani, Tazama sura |