Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 106:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

26 Ndipo alipowainulia mkono wake na kuwaapia, Ya kuwa atawaangamiza jangwani,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Hivyo Mungu akainua mkono akaapa kwamba atawaangamizia jangwani;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Hivyo Mungu akainua mkono akaapa kwamba atawaangamizia jangwani;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Hivyo Mungu akainua mkono akaapa kwamba atawaangamizia jangwani;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Kwa hiyo akaapa kwa mkono ulioinuliwa kwamba atawafanya waanguke jangwani,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Kwa hiyo akaapa kwa mkono ulioinuliwa kwamba atawafanya waanguke jangwani,

Tazama sura Nakili




Zaburi 106:26
10 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Nikaapa kwa hasira yangu Hawataingia katika pumziko langu.


Nami nitawaleta hata nchi ile ambayo niliinua mkono wangu, niwape Abrahamu, na Isaka, na Yakobo; nitawapa iwe urithi wenu; Mimi ni YEHOVA.


Tena niliwainulia mkono wangu jangwani, ya kwamba sitawaingiza katika nchi ile niliyokuwa nimewapa, itiririkayo maziwa na asali, ambayo ni utukufu wa nchi zote;


Kama nilivyoapa kwa hasira yangu, Hawataingia rahani mwangu.


Tena ni akina nani aliowaapia ya kwamba hawataingia katika pumziko lake, ila wale walioasi?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo