Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 106:25 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

25 Bali wakanung'unika hemani mwao, Wala hawakuisikiliza sauti ya BWANA.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Walinungunika mahemani mwao, wala hawakumsikiliza Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Walinungunika mahemani mwao, wala hawakumsikiliza Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Walinung'unika mahemani mwao, wala hawakumsikiliza Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Walinung’unika ndani ya mahema yao, wala hawakumtii Mwenyezi Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Walinung’unika ndani ya mahema yao, wala hawakumtii bwana.

Tazama sura Nakili




Zaburi 106:25
8 Marejeleo ya Msalaba  

Na mkutano mzima wa wana wa Israeli ukawanung'unikia Musa na Haruni, huko barani;


kwa sababu watu hawa wote, ambao wameuona utukufu wangu na ishara zangu, nilizozitenda huko Misri, na huko jangwani, pamoja na haya wamenijaribu mara hizi kumi, wala hawakuisikiza sauti yangu;


kama inenwavyo, Leo, kama mkisikia sauti yake, Msifanye mioyo yenu kuwa migumu, Kama wakati wa kuasi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo