Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 106:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

2 Nani awezaye kuyanena matendo makuu ya BWANA, Au kuzihubiri sifa zake zote?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Ni nani awezaye kutaja matendo ya Mwenyezi-Mungu? Ni nani awezaye kumsifu kama anavyostahili?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Ni nani awezaye kutaja matendo ya Mwenyezi-Mungu? Ni nani awezaye kumsifu kama anavyostahili?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Ni nani awezaye kutaja matendo ya Mwenyezi-Mungu? Ni nani awezaye kumsifu kama anavyostahili?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Ni nani awezaye kusimulia matendo makuu ya Mwenyezi Mungu au kutangaza kikamilifu sifa zake?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Ni nani awezaye kusimulia matendo makuu ya bwana au kutangaza kikamilifu sifa zake?

Tazama sura Nakili




Zaburi 106:2
9 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Walawi, Yeshua na Kadmieli, na Bani, na Hashabneya, na Sherebia, na Hodia, na Shebania, na Pethahia, wakasema, Simameni, mkamhimidi BWANA, Mungu wenu, tangu milele na hata milele. Na lihimidiwe jina lako tukufu, lililotukuka kuliko baraka zote na sifa zote.


Tazama, hivi ni viunga tu vya njia zake; Na jinsi yalivyo madogo manong'ono tusikiayo katika habari zake! Lakini ngurumo za uweza wake ni nani awezaye kuzielewa?


Yeye afanyaye mambo makuu, yasiyotambulikana; Mambo ya ajabu yasiyo na hesabu;


Ee BWANA, Mungu wangu, umefanya kwa wingi Miujiza yako na mawazo yako kwetu; Hakuna awezaye kufananishwa nawe; Kama ningependa kuyatangaza na kuyahubiri, Ni mengi sana hayahesabiki.


Jinsi zilivyo kuu utajiri na hekima na maarifa ya Mungu! Hukumu zake hazichunguziki, wala njia zake hazieleweki!


na ubora wa ukuu wa uweza wake ndani yetu tuaminio jinsi ulivyo; kwa kadiri ya utendaji wa nguvu za uweza wake;


ili mpate kufahamu pamoja na watakatifu wote jinsi ulivyo upana, na urefu, na kimo, na kina;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo