Zaburi 106:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC10 Akawaokoa kutoka kwa mkono wa mtu adui, aliyewachukia, Na kuwakomboa kutoka kwa mkono wa adui zao. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Aliwaokoa mikononi mwa waliowachukia; aliwaokoa kutoka kwa nguvu za maadui zao. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Aliwaokoa mikononi mwa waliowachukia; aliwaokoa kutoka kwa nguvu za maadui zao. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Aliwaokoa mikononi mwa waliowachukia; aliwaokoa kutoka kwa nguvu za maadui zao. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Aliwaokoa mikononi mwa adui; kutoka mikononi mwa adui aliwakomboa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Aliwaokoa mikononi mwa adui; kutoka mikononi mwa adui aliwakomboa. Tazama sura |