Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 106:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

10 Akawaokoa kutoka kwa mkono wa mtu adui, aliyewachukia, Na kuwakomboa kutoka kwa mkono wa adui zao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Aliwaokoa mikononi mwa waliowachukia; aliwaokoa kutoka kwa nguvu za maadui zao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Aliwaokoa mikononi mwa waliowachukia; aliwaokoa kutoka kwa nguvu za maadui zao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Aliwaokoa mikononi mwa waliowachukia; aliwaokoa kutoka kwa nguvu za maadui zao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Aliwaokoa mikononi mwa adui; kutoka mikononi mwa adui aliwakomboa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Aliwaokoa mikononi mwa adui; kutoka mikononi mwa adui aliwakomboa.

Tazama sura Nakili




Zaburi 106:10
10 Marejeleo ya Msalaba  

Nawe uliipasua bahari mbele yao, hata wakapita katikati ya bahari katika nchi kavu; na wale waliokuwa wakiwafuatia ukawatupa vilindini, kama jiwe katika maji makuu.


Na waseme hivi waliokombolewa na BWANA, Wale aliowakomboa na mkono wa mtesi.


Akatuokoa na watesi wetu; Kwa maana fadhili zake ni za milele.


Tumejisifia Mungu mchana kutwa, Na jina lako tutalishukuru milele.


Ndivyo BWANA alivyowaokoa Israeli siku ile mikononi mwa Wamisri; Waisraeli wakawaona Wamisri ufuoni mwa bahari, wamekufa.


Wewe kwa rehema zako umewaongoza watu uliowakomboa, Kwa uweza wako uliwaelekeza hata makao yako matakatifu.


Kwa maana nilikupandisha kutoka nchi ya Misri, na kukukomboa utoke katika nyumba ya utumwa, nami niliwatuma Musa, na Haruni, na Miriamu, watangulie mbele yako.


na alivyolifanya jeshi la Misri, farasi wao, na magari yao; na alivyowafunika kwa maji ya Bahari ya Shamu walipokuwa wakiwaandama, na alivyowaangamiza BWANA hata hivi leo;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo