Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 105:43 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

43 Akawatoa watu wake kwa shangwe, Na wateule wake kwa nyimbo za furaha.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

43 Basi akawatoa watu wake nchini, wateule wake wakaimba na kushangilia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

43 Basi akawatoa watu wake nchini, wateule wake wakaimba na kushangilia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

43 Basi akawatoa watu wake nchini, wateule wake wakaimba na kushangilia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

43 Aliwatoa watu wake kwa furaha, wateule wake kwa kelele za shangwe,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

43 Aliwatoa watu wake kwa furaha, wateule wake kwa kelele za shangwe,

Tazama sura Nakili




Zaburi 105:43
17 Marejeleo ya Msalaba  

Na kizazi cha nne kitarudi hapa, maana uovu wa Waamori haujatimia bado.


Enyi wazawa wa Abrahamu, mtumishi wake; Enyi wana wa Yakobo, wateule wake.


Ili niuone wema wa wateule wako. Nipate kuifurahia furaha ya taifa lako, Na kujisifu pamoja na watu wako.


Na BWANA akaufanya moyo wake Farao mfalme wa Misri kuwa mgumu, naye akawafuata wana wa Israeli; kwa sababu wana wa Israeli walitoka kwa jeuri.


Na hao waliokombolewa na BWANA watarudi, watafika Sayuni wakiimba; na furaha ya milele itakuwa juu ya vichwa vyao; nao watapata kicheko na furaha, huzuni na kuugua zitatoweka.


Maana mtatoka kwa furaha, Mtaongozwa kwa amani; Mbele yenu milima na vilima vitatoa nyimbo; Na miti yote ya shambani itapiga makofi.


Mungu wa watu hawa Israeli aliwachagua baba zetu, akawatukuza watu hao, walipokuwa wakikaa kama wageni katika nchi ya Misri, na kwa mkono ulioinuliwa akawatoa, akawaongoza.


Huyo ndiye aliyewatoa, akifanya ajabu na ishara katika nchi ya Misri, na katika Bahari ya Shamu, na katika jangwa muda wa miaka arubaini.


Kisha nikawatuma Musa na Haruni nikaipiga nchi ya Misri, kwa hayo yote niliyoyatenda kati yake; hatimaye nikawatoa ninyi.


nami niliwaokoa na mikono ya Wamisri, na mikono ya wote waliokuwa wakiwaonea, nami niliwafukuza watoke mbele zenu, nami niliwapa ninyi nchi yao;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo