Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 105:38 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

38 Misri ilifurahi walipoondoka, Maana kwa ajili yao hofu imewaangukia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

38 Wamisri walifurahia kuondoka kwao, kwani hofu iliwashika kwa sababu yao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

38 Wamisri walifurahia kuondoka kwao, kwani hofu iliwashika kwa sababu yao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

38 Wamisri walifurahia kuondoka kwao, kwani hofu iliwashika kwa sababu yao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

38 Misri ilifurahi walipoondoka, kwa sababu hofu ya Israeli ilikuwa imewaangukia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

38 Misri ilifurahi walipoondoka, kwa sababu hofu ya Israeli ilikuwa imewaangukia.

Tazama sura Nakili




Zaburi 105:38
6 Marejeleo ya Msalaba  

Wakashika njia, hofu ya Mungu ikaishika miji iliyowazunguka, wala hawakuwafuata wana wa Yakobo.


Na katika kila mkoa, na kila mji, popote palipowasili amri ya mfalme na mbiu yake, Wayahudi wakapata furaha na shangwe, karamu na sikukuu. Hata wengi wa watu wa nchi wakajifanya Wayahudi, maana waliwaogopa Wayahudi.


Ndipo watumishi wa Farao wakamwambia, Mtu huyu atakuwa tanzi kwetu sisi hadi lini? Wape hawa watu ruhusa waende zao, wamtumikie BWANA, Mungu wao; hujatambua bado ya kuwa Misri imekwisha haribika?


Wamisri nao wakawahimiza watu, kuwatoa katika nchi kwa haraka, maana walisema, Tumekwisha kufa sote.


Hofu na woga zimewaangukia; Kwa uweza wa mkono wako wanakaa kimya kama jiwe; Hata watakapovuka watu wako, Ee BWANA, Hata watakapovuka watu wako uliowanunua.


akawaambia wale wanaume, Mimi najua ya kuwa BWANA amewapa ninyi nchi hii, na ya kuwa hofu imetuangukia mbele yenu, na ya kuwa wenyeji wote wa nchi wanayeyuka mbele yenu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo