Zaburi 105:37 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC37 Akawatoa wakiwa na fedha na dhahabu, Katika makabila yao asiwepo mwenye kujikwaa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema37 Kisha akawatoa watu wa Israeli nchini, wakiwa na fedha na dhahabu; wala hakuna hata mmoja wao aliyejikwaa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND37 Kisha akawatoa watu wa Israeli nchini, wakiwa na fedha na dhahabu; wala hakuna hata mmoja wao aliyejikwaa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza37 Kisha akawatoa watu wa Israeli nchini, wakiwa na fedha na dhahabu; wala hakuna hata mmoja wao aliyejikwaa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu37 Akawatoa Israeli katika nchi wakiwa na fedha na dhahabu nyingi, wala hakuna hata mmoja kutoka makabila yao aliyejikwaa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu37 Akawatoa Israeli katika nchi wakiwa na fedha na dhahabu nyingi, wala hakuna hata mmoja kutoka kabila zao aliyejikwaa. Tazama sura |