Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 105:36 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

36 Akawapiga wazaliwa wa kwanza katika nchi, Malimbuko ya nguvu zao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

36 Aliwaua wazaliwa wa kwanza nchini mwao, chipukizi wa kwanza wa jamaa za Wamisri.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

36 Aliwaua wazaliwa wa kwanza nchini mwao, chipukizi wa kwanza wa jamaa za Wamisri.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

36 Aliwaua wazaliwa wa kwanza nchini mwao, chipukizi wa kwanza wa jamaa za Wamisri.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

36 Kisha akawaua wazaliwa wote wa kwanza katika nchi yao, matunda ya kwanza ya ujana wao wote.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

36 Kisha akawaua wazaliwa wote wa kwanza katika nchi yao, matunda ya kwanza ya ujana wao wote.

Tazama sura Nakili




Zaburi 105:36
9 Marejeleo ya Msalaba  

Reubeni, u mzaliwa wangu wa kwanza, Nguvu zangu, na malimbuko ya uwezo wangu. Umewapita wengine kwa ukuu na kwa nguvu.


Aliwapiga wazaliwa wa kwanza wa Misri, Wa wanadamu na wa wanyama.


Yeye aliyewapiga Wamisri kwa kuwaua wazaliwa wao wa kwanza; Kwa maana fadhili zake ni za milele.


Akampiga kila mzaliwa wa kwanza wa Misri, Malimbuko ya nguvu katika hema za Hamu.


Maana nitapita kati ya nchi ya Misri usiku huo, nami nitawaua wazaliwa wa kwanza wote katika nchi ya Misri, wa mwanadamu na wa mnyama; nami nitafanya hukumu juu ya miungu yote ya Misri; Mimi ndimi BWANA.


nami nimekuambia, Mpe mwanangu ruhusa aende, ili apate kunitumikia, nawe umekataa kumpa ruhusa aende; angalia basi, mimi nitamwua mwanao, mzaliwa wa kwanza wako.


Kwa imani akaifanya Pasaka, na kule kunyunyiza damu, ili yule mwenye kuwaangamiza wazaliwa wa kwanza asiwaguse wao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo