Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 105:33 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

33 Akaipiga mizabibu yao na mitini yao, Akaivunja miti ya nchi yao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 akaharibu mizabibu na mitini yao, akaivunja pia miti ya nchi yao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 akaharibu mizabibu na mitini yao, akaivunja pia miti ya nchi yao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 akaharibu mizabibu na mitini yao, akaivunja pia miti ya nchi yao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 akaharibu mizabibu yao na miti ya tini, na akaangamiza miti ya nchi yao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 akaharibu mizabibu yao na miti ya tini, na akaangamiza miti ya nchi yao.

Tazama sura Nakili




Zaburi 105:33
2 Marejeleo ya Msalaba  

Aliiharibu mizabibu yao kwa mvua ya mawe, Na mikuyu yao kwa mawe ya barafu.


Wakaambiwa wasiyadhuru majani ya nchi, wala kitu chochote kilicho kibichi, wala mti wowote, ila wale watu wasio na mhuri wa Mungu katika vipaji vya nyuso zao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo