Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 105:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

28 Alituma giza, na kufanya nchi kuwa na giza, Wakayaasi maneno yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Mungu akaleta giza juu ya nchi; lakini Wamisri wakakataa kutii amri zake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Mungu akaleta giza juu ya nchi; lakini Wamisri wakakataa kutii amri zake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Mungu akaleta giza juu ya nchi; lakini Wamisri wakakataa kutii amri zake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Alituma giza na nchi ikajaa giza, kwani si walikuwa wameyaasi maneno yake?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Alituma giza na nchi ikajaa giza, kwani si walikuwa wameyaasi maneno yake?

Tazama sura Nakili




Zaburi 105:28
9 Marejeleo ya Msalaba  

Akasema nao katika nguzo ya wingu. Wakashika shuhuda zake na amri aliyowapa.


siku ya giza na huzuni, siku ya mawingu na giza kuu. Kama mapambazuko yakitandazwa juu ya milima, hao ni wakuu, tena wenye nguvu, mfano wao haukuwako kamwe, wala hautakuwako baada ya hao, hata katika miaka ya vizazi vingi.


Jua litageuzwa kuwa giza, na mwezi kuwa damu, kabla haijaja hiyo siku ya BWANA iliyo kuu na itishayo.


Hawa ni visima visivyo na maji, na mawingu yachukuliwayo na tufani, ambao weusi wa giza ni akiba waliyowekewa.


Kwa maana ikiwa Mungu hakuwaachilia malaika waliokosa, bali aliwatupa shimoni, akawatia katika vifungo vya giza, walindwe hata ije hukumu;


Kama mkimcha BWANA, na kumtumikia, na kuisikia sauti yake, msiiasi amri ya BWANA, tena kama ninyi, na mfalme anayewatawala, mkimfuata BWANA, Mungu wenu, vema!


Tufuate:

Matangazo


Matangazo