Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 105:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

26 Akamtuma Musa, mtumishi wake, Na Haruni ambaye amemchagua.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Kisha akamtuma Mose mtumishi wake, akamtuma na Aroni mteule wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Kisha akamtuma Mose mtumishi wake, akamtuma na Aroni mteule wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Kisha akamtuma Mose mtumishi wake, akamtuma na Aroni mteule wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Akamtuma Musa mtumishi wake, pamoja na Haruni, aliyemchagua.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Akamtuma Musa mtumishi wake, pamoja na Haruni, aliyemchagua.

Tazama sura Nakili




Zaburi 105:26
22 Marejeleo ya Msalaba  

Uliwaongoza watu wako kama kundi, Kwa mkono wa Musa na Haruni.


Nawe utavitia vile vito viwili juu ya vipande vya mabegani vya hiyo naivera, viwe vito vya ukumbusho kwa ajili ya wana wa Israeli; naye Haruni atayachukua majina yao mbele za BWANA juu ya mabega yake mawili ili kuwa ukumbusho.


Haya, basi, nitakutuma sasa kwa Farao, ili upate kuwatoa watu wangu, hao wana wa Israeli, katika Misri.


BWANA akamwambia Haruni, Nenda jangwani uonane na Musa. Naye akaenda, akamkuta katika mlima wa Mungu, akambusu.


Musa na Haruni wakaenda, wakawakusanya wazee wote wa watu wa Israeli.


Ingia ndani, ukaseme na Farao, mfalme wa Misri, ili awape ruhusa wana wa Israeli watoke nchi yake.


BWANA akamwambia Musa, Angalia, nimekufanya wewe kuwa kama Mungu kwa Farao; na huyo ndugu yako Haruni atakuwa nabii wako.


Wakabwaga chini kila mtu fimbo yake, nazo zikawa nyoka; lakini fimbo ya Haruni ikazimeza fimbo zao.


Kwa maana nilikupandisha kutoka nchi ya Misri, na kukukomboa utoke katika nyumba ya utumwa, nami niliwatuma Musa, na Haruni, na Miriamu, watangulie mbele yako.


viwe ukumbusho kwa wana wa Israeli, ili mgeni yeyote asiye wa kizazi cha Haruni, asikaribie kufukiza uvumba mbele za BWANA; asiwe mfano wa Kora, na mkutano wake; kama BWANA alivyonena naye, kwa kupitia kwa Musa.


Kisha nikawatuma Musa na Haruni nikaipiga nchi ya Misri, kwa hayo yote niliyoyatenda kati yake; hatimaye nikawatoa ninyi.


Samweli akawaambia watu, Ni yeye BWANA aliyewaweka Musa na Haruni, yeye ndiye aliyewatoa baba zenu kutoka nchi ya Misri.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo