Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 105:25 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

25 Akawageuza moyo wawachukie watu wake, Wakawatendea hila watumishi wake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Aliwafanya Wamisri wawachukie watu wake, wakawatendea hila watumishi wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Aliwafanya Wamisri wawachukie watu wake, wakawatendea hila watumishi wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Aliwafanya Wamisri wawachukie watu wake, wakawatendea hila watumishi wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Aliigeuza mioyo yao iwachukie watu wake, wakatenda hila dhidi ya watumishi wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 ndiye aliigeuza mioyo yao iwachukie watu wake, wakatenda hila dhidi ya watumishi wake.

Tazama sura Nakili




Zaburi 105:25
11 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA akamwambia Abramu, Ujue hakika ya kwamba uzao wako utakuwa mgeni katika nchi isiyo yake, watawatumikia watu wale, nao watateswa kwa muda wa miaka mia nne.


akasema, Wakati mnapowazalisha wanawake wa Kiebrania na kuona kuwa ni mtoto wa kiume basi mwueni, bali ikiwa ni mtoto wa kike, na aishi.


BWANA akamwambia Musa, Ingia wewe kwa Farao; kwa kuwa mimi nimeufanya moyo wake mzito, nipate kuzionesha ishara zangu hizi kati yao;


Na kisha baada ya muda, yule mfalme wa Misri akafa; wana wa Israeli wakaugua kwa sababu ya ule utumwa, wakalia; kilio chao kikafika juu kwa Mungu kwa sababu ya ule utumwa.


BWANA akamwambia Musa, Hapo utakaporudi Misri, angalia ukazifanye mbele ya Farao zile ajabu zote nilizozitia mkononi mwako; lakini nitaufanya mgumu moyo wake, naye hatawapa ruhusa hao watu waende zao.


lakini, nilikusimamisha wewe kwa sababu ii hii, ili nikuoneshe uweza wangu, tena kwamba jina langu litangazwe katika dunia yote.


Wakati wa kupenda, na wakati wa kuchukia; Wakati wa vita, na wakati wa amani.


Huyo akawafanyia hila kabila yetu, na kuwatenda mabaya baba zetu, akiwaamuru wawatupe watoto wao wachanga, ili wasiishi.


Lakini Sihoni mfalme wa Heshboni hakutuacha kupitia kwake; kwa kuwa BWANA, Mungu wako, alifanya roho yake kuwa ngumu, akamtia ukaidi moyoni mwake, apate kumtia mkononi mwako kama alivyo hivi leo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo