Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 105:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

18 Walimwumiza miguu yake kwa pingu, Akatiwa katika minyororo ya chuma.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Walimfunga miguu kwa minyororo, na shingoni kwa nira ya chuma,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Walimfunga miguu kwa minyororo, na shingoni kwa nira ya chuma,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Walimfunga miguu kwa minyororo, na shingoni kwa nira ya chuma,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Walichubua miguu yake kwa minyororo, shingo yake ilifungwa kwa chuma,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Walichubua miguu yake kwa minyororo, shingo yake ilifungwa kwa chuma,

Tazama sura Nakili




Zaburi 105:18
4 Marejeleo ya Msalaba  

Bwana wake akamtwaa Yusufu, akamtia gerezani, mahali wafungwa wa mfalme walimokuwa wamefungiwa, naye akawa humo gerezani.


Kwa sababu hakika niliibwa kutoka nchi ya Waebrania, wala hapa sikutenda jambo lolote hata wanitie gerezani.


Waliokaa katika giza na uvuli wa mauti, Wamefungwa katika taabu na minyororo,


Naye akiisha kupata amri hii akawatupa katika chumba cha ndani, akawafunga miguu kwa mkatale.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo