Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 105:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

17 Alimpeleka mtu mbele yao, Yusufu aliuzwa utumwani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Lakini aliwatangulizia mtu mmoja, Yosefu aliyekuwa ameuzwa utumwani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Lakini aliwatangulizia mtu mmoja, Yosefu aliyekuwa ameuzwa utumwani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Lakini aliwatangulizia mtu mmoja, Yosefu aliyekuwa ameuzwa utumwani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 naye akatuma mtu mbele yao, Yusufu, aliyeuzwa kama mtumwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 naye akatuma mtu mbele yao, Yusufu, aliyeuzwa kama mtumwa.

Tazama sura Nakili




Zaburi 105:17
7 Marejeleo ya Msalaba  

Nao Wamidiani wakamuuza huko Misri, kwa Potifa, mmoja wa maofisa wa Farao, mkuu wa askari walinzi.


Basi Yusufu akaletwa mpaka Misri, naye Potifa, ofisa wa Farao, mkuu wa askari walinzi, mtu wa Misri, akamnunua mkononi mwa hao Waishmaeli waliomleta huko.


Nanyi kweli mlinikusudia mabaya, bali Mungu aliyakusudia kuwa mema, ili itokee kuokoa taifa kubwa, kama ilivyo leo.


Wale wazee wetu wakimwonea wivu Yusufu, wakamwuza aende Misri. Mungu akawa pamoja naye,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo