Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 105:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 Wakatangatanga toka taifa hadi taifa, Toka ufalme mmoja hadi kwa watu wengine.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Walitangatanga kutoka taifa hadi taifa; kutoka nchi moja hadi nchi nyingine.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Walitangatanga kutoka taifa hadi taifa; kutoka nchi moja hadi nchi nyingine.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Walitangatanga kutoka taifa hadi taifa; kutoka nchi moja hadi nchi nyingine.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 walitangatanga kutoka taifa moja hadi jingine, kutoka ufalme mmoja hadi mwingine.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 walitangatanga kutoka taifa moja hadi jingine, kutoka ufalme mmoja hadi mwingine.

Tazama sura Nakili




Zaburi 105:13
5 Marejeleo ya Msalaba  

Basi kulikuwa na njaa katika nchi ile; Abramu akashuka Misri, akae huko kwa muda maana njaa ilikuwa kali katika nchi.


Naye Abramu akasafiri, akazidi kwenda pande za kusini.


Umehesabu kutangatanga kwangu; Uyatie machozi yangu katika chupa yako; (Je! Hayamo katika kitabu chako?)


Basi wakaweka wasimamizi juu yao wawatese kwa mizigo yao. Nao wakamjengea Farao miji ya kuwekea akiba, Pithomu na Ramesesi.


Kwa maana BWANA wa majeshi asema hivi, Ili nitafute utukufu amenituma kwa mataifa wale waliowateka ninyi; maana yeye awagusaye ninyi aigusa mboni ya jicho lake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo