Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 105:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Akisema, Nitakupa wewe nchi ya Kanaani, Kama fungu la urithi wenu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Alisema: “Nitawapeni nchi ya Kanaani, nayo itakuwa mali yenu wenyewe.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Alisema: “Nitawapeni nchi ya Kanaani, nayo itakuwa mali yenu wenyewe.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Alisema: “Nitawapeni nchi ya Kanaani, nayo itakuwa mali yenu wenyewe.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 “Nitakupa wewe nchi ya Kanaani kuwa sehemu utakayoirithi.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 “Nitakupa wewe nchi ya Kanaani kuwa sehemu utakayoirithi.”

Tazama sura Nakili




Zaburi 105:11
7 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA akamtokea Abramu, akasema, Uzao wako nitawapa nchi hii. Naye akamjengea BWANA madhabahu huko alikomtokea.


maana nchi hii yote uionayo, nitakupa wewe na uzao wako hata milele.


Siku ile BWANA akafanya agano na Abramu, akasema, Uzao wako nimewapa nchi hii, kutoka mto wa Misri mpaka huo mto mkubwa, mto Frati,


Na tazama, BWANA amesimama juu yake, akasema, Mimi ni BWANA, Mungu wa Abrahamu baba yako, na Mungu wa Isaka; nchi hii unayolala nitakupa wewe na uzao wako.


Akawafukuza mataifa mbele yao, Akawapimia urithi kwa kamba, Na kuwakalisha makabila ya Israeli katika hema zao.


Tena nimelithibitisha agano langu nao, la kuwapa nchi ya Kanaani; nchi ya waliyokaa kama wageni.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo