Zaburi 105:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC11 Akisema, Nitakupa wewe nchi ya Kanaani, Kama fungu la urithi wenu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Alisema: “Nitawapeni nchi ya Kanaani, nayo itakuwa mali yenu wenyewe.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Alisema: “Nitawapeni nchi ya Kanaani, nayo itakuwa mali yenu wenyewe.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Alisema: “Nitawapeni nchi ya Kanaani, nayo itakuwa mali yenu wenyewe.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 “Nitakupa wewe nchi ya Kanaani kuwa sehemu utakayoirithi.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 “Nitakupa wewe nchi ya Kanaani kuwa sehemu utakayoirithi.” Tazama sura |