Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 103:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

9 Yeye hatashutumu daima, Wala hatashika hasira yake milele.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Hatukemeikemei daima, wala hasira yake haidumu milele.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Hatukemeikemei daima, wala hasira yake haidumu milele.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Hatukemeikemei daima, wala hasira yake haidumu milele.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Yeye hatalaumu siku zote, wala haweki hasira yake milele,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Yeye hatalaumu siku zote, wala haweki hasira yake milele,

Tazama sura Nakili




Zaburi 103:9
7 Marejeleo ya Msalaba  

Maana ghadhabu zake ni za muda mfupi tu; Radhi yake ni ya milele. Kilio huweza kuwapo usiku, Lakini furaha huja asubuhi.


Umemwadhibu kwa kiasi, ulipomfukuza; ukampepeta kwa upepo mkali katika siku ya upepo wa mashariki.


Kwa kuwa sitashindana na watu siku zote, wala sitakuwa na hasira siku zote; maana roho ingezimia mbele zangu, na hizo nafsi nilizozifanya.


Nenda, ukatangaze maneno haya kuelekea upande wa kaskazini, ukaseme, Rudi, Ee Israeli mwenye kuasi, asema BWANA; sitakutazama kwa hasira; maana mimi ni mwenye rehema, asema BWANA, sitashika hasira hata milele.


Je! Ataishika hasira yake hata milele? Ataishika hata mwisho? Tazama, umesema hivyo, bali umetenda mambo mabaya, umefuata njia yako mwenyewe.


Katika dhambi zake zote alizozitenda, hata mojawapo haitakumbukwa juu yake; ametenda yaliyo halali na haki; hakika ataishi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo