Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 103:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

3 Akusamehe maovu yako yote, Akuponya magonjwa yako yote,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Ndiye anayenisamehe uovu wangu wote, na kuniponya magonjwa yote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Ndiye anayenisamehe uovu wangu wote, na kuniponya magonjwa yote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Ndiye anayenisamehe uovu wangu wote, na kuniponya magonjwa yote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 akusamehe dhambi zako zote, akuponya magonjwa yako yote,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 akusamehe dhambi zako zote, akuponya magonjwa yako yote,

Tazama sura Nakili




Zaburi 103:3
27 Marejeleo ya Msalaba  

Daudi akamwambia Nathani, Nimemfanyia BWANA dhambi. Nathani akamwambia Daudi, BWANA naye ameiondoa dhambi yako; hutakufa.


Lakini kwako kuna msamaha, Ili Wewe uogopwe.


Yeye atamkomboa Israeli na maovu yake yote.


Huwaponya waliopondeka moyo, Na kuyaganga majeraha yao.


Ee BWANA, Mungu wangu, Nilikulilia ukaniponya.


Wanafikiri pigo liualo limemshika, Akalala asiweze kusimama tena.


Kwa maana Wewe, Bwana, U mwema, Umekuwa tayari kusamehe, Na mwingi wa fadhili, Kwa watu wote wakuitao.


akawaambia, Kwamba utaisikiza kwa bidii sauti ya BWANA, Mungu wako, na kuyafanya yaliyoelekea mbele zake, na kutega masikio usikie maagizo yake, na kuzishika amri zake, mimi sitatia juu yako maradhi yoyote niliyowatia Wamisri; kwa kuwa Mimi ndimi BWANA nikuponyaye.


mwenye kuwaonea huruma watu maelfu, mwenye kusamehe uovu na makosa na dhambi; wala si mwenye kumhesabia mtu mwovu kuwa hana hatia kamwe; mwenye kuwapatiliza watoto uovu wa baba zao, na wana wa wana wao pia, hata kizazi cha tatu na cha nne.


Wala hapana mwenyeji atakayesema, Mimi mgonjwa; watu wakaao humo watasamehewa uovu wao.


Tazama; nilikuwa na uchungu mwingi kwa ajili ya amani yangu; Lakini kwa kunipenda umeniokoa kutoka kwa shimo la uharibifu; Kwa maana umezitupa dhambi zangu zote nyuma yako.


Mimi, naam, mimi, ndimi niyafutaye makosa yako kwa ajili yangu mwenyewe, wala sitazikumbuka dhambi zako.


Bali alijeruhiwa kwa makosa yetu, Alichubuliwa kwa maovu yetu; Adhabu ya amani yetu ilikuwa juu yake, Na kwa kupigwa kwake sisi tumepona.


Uniponye, Ee BWANA, nami nitaponyeka; uniokoe, nami nitaokoka; kwa maana wewe ndiwe uliye sifa zangu.


Musa akamlilia BWANA, akasema, Mponye, Ee Mungu, nakusihi sana.


Naye Yesu, alipoiona imani yao, akamwambia yule mwenye kupooza, Mwanangu, umesamehewa dhambi zako.


Katika yeye huyo, kwa damu yake, tunao ukombozi wetu, msamaha wa dhambi, sawasawa na wingi wa neema yake.


Na kule kuomba kwa imani kutamwokoa mgonjwa yule, na Bwana atamwinua; hata ikiwa amefanya dhambi, atasamehewa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo