Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 103:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

2 Ee nafsi yangu, umhimidi BWANA, Wala usizisahau fadhili zake zote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Ee nafsi yangu, umsifu Mwenyezi-Mungu! Usisahau kamwe wema wake wote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Ee nafsi yangu, umsifu Mwenyezi-Mungu! Usisahau kamwe wema wake wote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Ee nafsi yangu, umsifu Mwenyezi-Mungu! Usisahau kamwe wema wake wote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Ee nafsi yangu, umhimidi Mwenyezi Mungu, wala usisahau wema wake wote:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Ee nafsi yangu, umhimidi bwana, wala usisahau wema wake wote,

Tazama sura Nakili




Zaburi 103:2
17 Marejeleo ya Msalaba  

Walakini Hezekia hakuwa na shukrani kadiri alivyofadhiliwa; kwa kuwa moyo wake ulijawa na kiburi; kwa hiyo ikawako hasira juu yake, na juu ya Yuda na Yerusalemu.


Yakumbukeni matendo yake ya ajabu aliyoyafanya, Miujiza yake na hukumu alizotoa.


Wakamsahau Mungu, mwokozi wao, Aliyetenda makuu katika Misri.


Baba zetu katika Misri Hawakuzingatia matendo yako ya ajabu; Hawakukumbuka wingi wa fadhili zako; Wakaasi penye bahari, Bahari ya Shamu.


Nimrudishie BWANA nini Kwa ukarimu wake wote alionitendea?


Ni nani huyu atokaye Edomu, Atokaye Bosra akiwa na mavazi yenye madoa mekundu? Huyu aliye na nguo za fahari, Anayekwenda katika ukuu wa uweza wake? Ndimi nisemaye kwa haki, Niliye hodari wa kuokoa.


Nitautaja wema wa BWANA, sifa za BWANA kwa yote aliyotukirimia BWANA; na wingi wa wema wake kwa nyumba ya Israeli, aliowakirimia kwa rehema zake, na kwa wingi wa wema wake.


Humkumbuki Mwamba aliyekuzaa, Mungu aliyekuzaa umemsahau.


Je! Mnamlipa BWANA hivi, Enyi watu wapumbavu na ujinga? Je! Yeye siye baba yako aliyekununua? Amekufanya, na kukuweka imara.


ndipo ujitunze, usije ukamsahau BWANA aliyekutoa nchi ya Misri, nyumba ya utumwa.


Kwa sababu wakuu walitangulia katika Israeli, Kwa sababu watu walijitoa nafsi zao kwa hiari yao, Mhimidini BWANA.


Moyo wangu unawaelekea makamanda wa Israeli, Waliojitoa nafsi zao kwa hiari yao miongoni mwa watu; Mhimidini BWANA.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo