Zaburi 102:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC20 Ili akisikie kilio cha kuugua kwake aliyefungwa, Na kuwafungua walioandikiwa kufa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 akasikia lalamiko la wafungwa; akawaachilia huru waliohukumiwa kuuawa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 akasikia lalamiko la wafungwa; akawaachilia huru waliohukumiwa kuuawa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 akasikia lalamiko la wafungwa; akawaachilia huru waliohukumiwa kuuawa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 kusikiliza vilio vya uchungu vya wafungwa, na kuwaweka huru wale waliohukumiwa kufa.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 kusikiliza vilio vya uchungu vya wafungwa na kuwaweka huru wale waliohukumiwa kufa.” Tazama sura |