Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 102:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

20 Ili akisikie kilio cha kuugua kwake aliyefungwa, Na kuwafungua walioandikiwa kufa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 akasikia lalamiko la wafungwa; akawaachilia huru waliohukumiwa kuuawa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 akasikia lalamiko la wafungwa; akawaachilia huru waliohukumiwa kuuawa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 akasikia lalamiko la wafungwa; akawaachilia huru waliohukumiwa kuuawa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 kusikiliza vilio vya uchungu vya wafungwa, na kuwaweka huru wale waliohukumiwa kufa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 kusikiliza vilio vya uchungu vya wafungwa na kuwaweka huru wale waliohukumiwa kufa.”

Tazama sura Nakili




Zaburi 102:20
15 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Yehoahazi akamsihi BWANA, BWANA akamsikiliza; kwa kuwa aliyaona mateso ya Israeli, jinsi mfalme wa Shamu alivyowatesa.


Watu huugua toka mji ulio na watu wengi, Na roho yake aliyejeruhiwa hupiga ukelele; Wala Mungu hauangalii upumbavu.


Huwafanyia hukumu walioonewa, Huwapa wenye njaa chakula; BWANA hufungua waliofungwa;


Kuugua kwake aliyefungwa Na kuingie mbele zako. Kwa kadiri ya uweza wa mkono wako Uwahifadhi waliohukumiwa kufa.


BWANA akasema, Hakika nimeyaona mateso ya watu wangu walioko Misri, nami nimekisikia kilio chao kwa sababu ya wasimamizi wao; maana nayajua maumivu yao;


Aliyeufanya ulimwengu ukiwa, akaipindua miji yake; Asiyewafungua wafungwa wake waende kwao?


Uangalie kutoka makazi yako matakatifu mbinguni, uwabarikie watu wako Israeli, na nchi uliyotupa kama ulivyowaapia baba zetu, nchi imiminikayo maziwa na asali.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo