Zaburi 102:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC13 Wewe mwenyewe utasimama, Na kuirehemu Sayuni, Kwa maana ndio wakati wa kuihurumia, Naam, majira yaliyoamriwa yamewadia. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Wewe utainuka na kuurehemu mji wa Siyoni; maana wakati umefika wa kuutendea mema; wakati wake uliopangwa umefika. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Wewe utainuka na kuurehemu mji wa Siyoni; maana wakati umefika wa kuutendea mema; wakati wake uliopangwa umefika. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Wewe utainuka na kuurehemu mji wa Siyoni; maana wakati umefika wa kuutendea mema; wakati wake uliopangwa umefika. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Utainuka na kuihurumia Sayuni, kwa maana ni wakati wa kumwonesha wema; wakati uliokubalika umewadia. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Utainuka na kuihurumia Sayuni, kwa maana ni wakati wa kumwonyesha wema; wakati uliokubalika umewadia. Tazama sura |