Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 102:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Siku zangu ni kama kivuli cha jioni, Nami ninanyauka kama majani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Maisha yangu ni kama kivuli cha jioni; ninanyauka kama nyasi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Maisha yangu ni kama kivuli cha jioni; ninanyauka kama nyasi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Maisha yangu ni kama kivuli cha jioni; ninanyauka kama nyasi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Siku zangu ni kama kivuli cha jioni, ninanyauka kama jani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Siku zangu ni kama kivuli cha jioni, ninanyauka kama jani.

Tazama sura Nakili




Zaburi 102:11
12 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye huchanua kama vile ua, kisha hukatwa; Hukimbia kama kivuli, wala hakai kamwe.


Amenibomoa pande zote, nami nimetoweka; Na tumaini langu ameling'oa kama mti.


Ninapita kama kivuli kianzacho kutoweka, Ninapeperushwa kama nzige.


Binadamu ni kama ubatili, Siku zake ni kama kivuli kipitacho.


Kwa maana ni nani ajuaye yaliyo mema ya mwanadamu katika maisha yake, siku zote za maisha yake ya ubatili, anayoishi kama kivuli? Kwa maana ni nani awezaye kumweleza mwanadamu mambo yatakayofuata baada yake chini ya jua?


Mimi ni mtu aliyeona mateso Kwa fimbo ya ghadhabu yake.


bali tajiri kwa kuwa ameshushwa; kwa maana atatoweka kama ua la majani.


lakini hamjui yatakayokuwako kesho. Uzima wenu ni nini? Maana ninyi ni mvuke uonekanao kwa muda mfupi tu, kisha hutoweka.


Maana, Mwili wote ni kama majani, Na fahari yake yote ni kama ua la majani. Majani hukauka na ua lake huanguka;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo