Zaburi 10:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC18 Ili kumhukumu yatima na aliyeonewa, Binadamu aliye udongo asizidi kudhulumu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Utawatendea haki yatima na wanaodhulumiwa, binadamu aliye udongo asiweze tena kuleta hofu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Utawatendea haki yatima na wanaodhulumiwa, binadamu aliye udongo asiweze tena kuleta hofu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Utawatendea haki yatima na wanaodhulumiwa, binadamu aliye udongo asiweze tena kuleta hofu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 ukiwatetea yatima na waliodhulumiwa, ili mwanadamu ambaye ni udongo asiogopeshe tena. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 ukiwatetea yatima na walioonewa, ili mwanadamu, ambaye ni udongo, asiogopeshe tena. Tazama sura |