Zaburi 10:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC1 Ee BWANA, kwa nini wasimama mbali? Kwani unajificha nyakati za shida? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Ee Mwenyezi-Mungu, mbona wasimama mbali? Kwa nini wajificha wakati tumo taabuni? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Ee Mwenyezi-Mungu, mbona wasimama mbali? Kwa nini wajificha wakati tumo taabuni? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Ee Mwenyezi-Mungu, mbona wasimama mbali? Kwa nini wajificha wakati tumo taabuni? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Kwa nini, Ee Mwenyezi Mungu, unasimama mbali? Kwa nini unajificha wakati wa shida? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Kwa nini, Ee bwana, unasimama mbali? Kwa nini unajificha wakati wa shida? Tazama sura |