Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 10:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

1 Ee BWANA, kwa nini wasimama mbali? Kwani unajificha nyakati za shida?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Ee Mwenyezi-Mungu, mbona wasimama mbali? Kwa nini wajificha wakati tumo taabuni?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Ee Mwenyezi-Mungu, mbona wasimama mbali? Kwa nini wajificha wakati tumo taabuni?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Ee Mwenyezi-Mungu, mbona wasimama mbali? Kwa nini wajificha wakati tumo taabuni?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Kwa nini, Ee Mwenyezi Mungu, unasimama mbali? Kwa nini unajificha wakati wa shida?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Kwa nini, Ee bwana, unasimama mbali? Kwa nini unajificha wakati wa shida?

Tazama sura Nakili




Zaburi 10:1
13 Marejeleo ya Msalaba  

Mbona umeuficha uso wako, Na kunihesabu kuwa ni adui yako?


Na mkono wa kushoto, afanyapo kazi, lakini siwezi kumwona; Hujificha upande wa kulia, hata nisimwone.


Akitoa utulivu yeye, ni nani awezaye kuhukumia makosa? Akificha uso wake, ni nani awezaye kumtazama? Kama hufanyiwa taifa, au mtu mmoja, ni sawasawa;


Mungu wangu, Mungu wangu, Mbona umeniacha? Mbona U mbali na wokovu wangu, Na maneno ya kuugua kwangu?


Usinifiche uso wako, Usimkatalie mtumishi wako kwa hasira. Umekuwa msaada wangu, usinitupe, Wala usiniache, Ee Mungu wa wokovu wangu.


BWANA, kwa radhi yako Wewe uliuimarisha mlima wangu. Uliuficha uso wako, Nami nikafadhaika.


Mbona unatuficha uso wako, Na kusahau kuonewa na kudhulumiwa kwetu?


Maana nafsi yetu imeinama mavumbini, Tumbo letu limegandamana na nchi.


Mungu kwetu sisi ni kimbilio na nguvu, Msaada utakaoonekana tele wakati wa mateso.


BWANA, kwa nini kuitupa nafsi yangu, Na kunificha uso wako?


Wewe uliye tumaini la Israeli, wewe uliye Mwokozi wake wakati wa taabu, kwa nini wewe umekuwa kama mtu akaaye katika nchi, kama mgeni, na kama mtu mwenye kusafiri, ageukaye upande ili kukaa usiku mmoja tu?


Kwa nini wewe umekuwa kama mtu aliyeshtuka, kama shujaa asiyeweza kuokoa? Lakini wewe, BWANA, u katikati yetu, nasi tunaitwa kwa jina lako; usituache.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo