Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yoshua 24:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

28 Basi Yoshua akawaruhusu watu, wakaenda zao, kila mtu kwenye urithi wake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Halafu Yoshua akawaruhusu watu waondoke; nao wakaenda kila mmoja kwake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Halafu Yoshua akawaruhusu watu waondoke; nao wakaenda kila mmoja kwake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Halafu Yoshua akawaruhusu watu waondoke; nao wakaenda kila mmoja kwake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Basi Yoshua akawatuma watu kila mmoja aende katika urithi wake mwenyewe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Basi Yoshua akawatuma watu kila mmoja aende katika urithi wake mwenyewe.

Tazama sura Nakili




Yoshua 24:28
7 Marejeleo ya Msalaba  

Na Israeli waliosalia, katika hao makuhani, na Walawi, walikuwamo kote mijini mwa Yuda, kila mtu katika milki yake.


Hivyo hapana urithi wowote wa wana wa Israeli utakaotoka kabila hili kwenda kabila hili; kwa kuwa wana wa Israeli watashikamana kila mtu na urithi wa kabila la baba zake.


Hivyo hapatakuwa na urithi wowote utakaotoka kabila hili kwenda kabila hili; kwa kuwa makabila ya wana wa Israeli yatashikamana kila mmoja na urithi wake mwenyewe.


Basi Yoshua akawabariki, na kuwapa ruhusa waende zao; nao wakaenda mahemani kwao.


Yoshua akawaambia watu wote, Tazama, jiwe hili litakuwa shahidi juu yetu; kwa maana limesikia maneno yote ya BWANA aliyotuambia, basi litakuwa shahidi juu yenu, msije mkamkana Mungu wenu.


Ikawa, baada ya hayo, Yoshua, mwana wa Nuni, mtumishi wa BWANA, akafa, mwenye umri wa miaka mia moja na kumi.


Basi hapo Yoshua alipowapa watu ruhusa waende zao, wana wa Israeli wakaenda kila mtu kuuendea urithi wake, ili kuimiliki hiyo nchi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo