Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yoshua 2:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

8 Tena kabla hawajalala akawaendea juu darini,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Rahabu akawaendea hao wapelelezi juu darini kabla hawajalala,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Rahabu akawaendea hao wapelelezi juu darini kabla hawajalala,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Rahabu akawaendea hao wapelelezi juu darini kabla hawajalala,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Kabla wale wapelelezi hawajalala, Rahabu akawaendea huko juu darini,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Kabla wale wapelelezi hawajalala, Rahabu akawaendea huko juu darini,

Tazama sura Nakili




Yoshua 2:8
4 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini yeye alikuwa amewapandisha darini, akawaficha kwa mabua ya kitani, aliyokuwa ameyatandika juu ya dari.


Basi hao watu wakawafuata kwa njia iendayo Yordani mpaka vivukoni; na mara wale watu waliowafuatia walipokwisha kutoka, wakalifunga lango.


akawaambia wale wanaume, Mimi najua ya kuwa BWANA amewapa ninyi nchi hii, na ya kuwa hofu imetuangukia mbele yenu, na ya kuwa wenyeji wote wa nchi wanayeyuka mbele yenu.


Basi nyumba ile ilikuwa imejaa wanaume kwa wanawake; na wakuu wote wa Wafilisti walikuwamo humo, na juu ya dari palikuwa na watu elfu tatu wanaume kwa wanawake waliokuwa wakitazama, wakati Samsoni alipocheza.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo