Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yoshua 12:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

14 mfalme wa Horma, mmoja; na mfalme wa Aradi, mmoja;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 mfalme wa Horma, mfalme wa Aradi,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 mfalme wa Horma, mfalme wa Aradi,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 mfalme wa Horma, mfalme wa Aradi,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 mfalme wa Horma; mfalme wa Aradi;

Tazama sura Nakili




Yoshua 12:14
6 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Mwamaleki, na Mkanaani waliokaa huko mlimani, wakateremka, wakawapiga na kuwaangusha, hadi wakafika Horma.


Na Mkanaani, mfalme wa Aradi, aliyeishi Negebu, akasikia habari ya kuwa Israeli alikuja kwa njia ya Atharimu; basi akapigana na Israeli, akawateka baadhi yao.


BWANA akasikiza sauti ya Israeli, akawatia Wakanaani mikononi mwao; nao wakawaharibu wao na miji yao kabisa; na jina la mahali hapo likaitwa Horma.


mfalme wa Debiri, mmoja; na mfalme wa Gederi, mmoja;


mfalme wa Libna, mmoja; na mfalme wa Adulamu, mmoja;


na kwa hao wa Horma, na kwa hao wa Korashani, na kwa hao wa Athaki;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo