Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yoshua 10:34 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

34 Kisha Yoshua akapita kutoka hapo Lakishi, na Israeli wote pamoja naye, hadi wakafika Egloni; nao wakauzingira na kuushambulia;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

34 Kisha kutoka Lakishi, Yoshua na Waisraeli wote walikwenda mpaka Egloni, wakauzingira na kuushambulia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

34 Kisha kutoka Lakishi, Yoshua na Waisraeli wote walikwenda mpaka Egloni, wakauzingira na kuushambulia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

34 Kisha kutoka Lakishi, Yoshua na Waisraeli wote walikwenda mpaka Egloni, wakauzingira na kuushambulia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

34 Ndipo Yoshua akaondoka Lakishi kwenda Egloni akiwa pamoja na Israeli yote; wakajipanga dhidi yake na kuushambulia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

34 Ndipo Yoshua akaondoka Lakishi kwenda Egloni akiwa pamoja na Israeli yote; wakajipanga dhidi yake na kuushambulia.

Tazama sura Nakili




Yoshua 10:34
5 Marejeleo ya Msalaba  

Basi kwa hiyo Adoni-sedeki, mfalme wa Yerusalemu, akatuma ujumbe kwa Hohamu, mfalme wa Hebroni, na kwa Piramu, mfalme wa Yarmuthi, na kwa Yafia, mfalme wa Lakishi, na kwa Debiri, mfalme wa Egloni, akiwaambia,


Wakati huo Horamu, mfalme wa Gezeri, akakwea ili kuusaidia Lakishi, lakini Yoshua akampiga yeye na watu wake, hata asimsazie hata mtu mmoja.


siku iyo hiyo wakautwaa, nao wakaupiga kwa makali ya upanga, na wote pia waliokuwamo ndani yake akawaangamiza kabisa siku hiyo, sawasawa na hayo yote aliyoufanyia mji wa Lakishi.


mfalme wa Egloni, mmoja; na mfalme wa Gezeri, mmoja;


Lakishi, Bozkathi, Egloni;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo