Yoshua 10:34 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC34 Kisha Yoshua akapita kutoka hapo Lakishi, na Israeli wote pamoja naye, hadi wakafika Egloni; nao wakauzingira na kuushambulia; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema34 Kisha kutoka Lakishi, Yoshua na Waisraeli wote walikwenda mpaka Egloni, wakauzingira na kuushambulia. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND34 Kisha kutoka Lakishi, Yoshua na Waisraeli wote walikwenda mpaka Egloni, wakauzingira na kuushambulia. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza34 Kisha kutoka Lakishi, Yoshua na Waisraeli wote walikwenda mpaka Egloni, wakauzingira na kuushambulia. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu34 Ndipo Yoshua akaondoka Lakishi kwenda Egloni akiwa pamoja na Israeli yote; wakajipanga dhidi yake na kuushambulia. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu34 Ndipo Yoshua akaondoka Lakishi kwenda Egloni akiwa pamoja na Israeli yote; wakajipanga dhidi yake na kuushambulia. Tazama sura |