Yohana 9:33 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC33 Kama huyo asingalitoka kwa Mungu, asingeweza kutenda neno lolote. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema33 Kama mtu huyu hakutoka kwa Mungu, hangeweza kufanya chochote!” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND33 Kama mtu huyu hakutoka kwa Mungu, hangeweza kufanya chochote!” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza33 Kama mtu huyu hakutoka kwa Mungu, hangeweza kufanya chochote!” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu33 Kama huyu mtu hakutoka kwa Mungu, asingeweza kufanya lolote.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu33 Kama huyu mtu hakutoka kwa Mungu, asingeweza kufanya lolote.” Tazama sura |