Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 9:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

23 Ndiyo sababu wale wazazi wake walisema, Ni mtu mzima, mwulizeni yeye.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Ndiyo maana wazazi wake walisema: “Yeye ni mtu mzima, mwulizeni.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Ndiyo maana wazazi wake walisema: “Yeye ni mtu mzima, mwulizeni.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Ndiyo maana wazazi wake walisema: “Yeye ni mtu mzima, mwulizeni.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Kwa hiyo wazazi wake wakasema, “Yeye ni mtu mzima. Muulizeni.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Kwa hiyo wazazi wake wakasema, “Yeye ni mtu mzima. Muulizeni.”

Tazama sura Nakili




Yohana 9:23
2 Marejeleo ya Msalaba  

lakini jinsi aonavyo sasa hatujui; wala hatujui ni nani aliyemfumbua macho. Mwulizeni yeye mwenyewe; yeye ni mtu mzima; atajisemea mwenyewe.


Basi mara ya pili wakamwita yule mtu aliyekuwa kipofu, wakamwambia, Mpe Mungu utukufu. Sisi tunajua ya kuwa mtu huyo ni mwenye dhambi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo