Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 6:58 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

58 Hiki ndicho chakula kishukacho kutoka mbinguni; si kama mababa walivyokula, wakafa; bali akilaye chakula hicho ataishi milele.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

58 Basi, huu ndio mkate ulioshuka kutoka mbinguni; si kama mana waliyokula babu zenu, wakafa. Aulaye mkate huu atakuwa hai milele.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

58 Basi, huu ndio mkate ulioshuka kutoka mbinguni; si kama mana waliyokula babu zenu, wakafa. Aulaye mkate huu atakuwa hai milele.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

58 Basi, huu ndio mkate ulioshuka kutoka mbinguni; si kama mana waliyokula babu zenu, wakafa. Aulaye mkate huu atakuwa hai milele.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

58 Huu ndio mkate ushukao kutoka mbinguni, si kama ule mkate baba zenu waliokula nao wakafa. Lakini yeye aulaye mkate huu ataishi milele.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

58 Huu ndio mkate ushukao kutoka mbinguni, si kama ule mkate baba zenu waliokula nao wakafa. Lakini yeye aulaye mkate huu ataishi milele.”

Tazama sura Nakili




Yohana 6:58
6 Marejeleo ya Msalaba  

naye kila aishiye na kuniamini hatakufa kabisa hata milele. Je! Unayasadiki hayo?


Amwaminiye Mwana ana uzima wa milele; asiyemwamini Mwana hataona uzima, bali ghadhabu ya Mungu inamkalia.


Amin, amin, nawaambia, Yeye alisikiaye neno langu na kumwamini yeye aliyenituma ana uzima wa milele; wala haingii hukumuni, bali amepita kutoka mautini kuingia uzimani.


Basi Wayahudi wakamnung'unikia, kwa sababu alisema, Mimi ni chakula kilichoshuka kutoka mbinguni.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo