Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 3:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

24 Maana Yohana alikuwa hajatiwa gerezani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 (Wakati huo Yohane alikuwa bado hajafungwa gerezani.)

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 (Wakati huo Yohane alikuwa bado hajafungwa gerezani.)

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 (Wakati huo Yohane alikuwa bado hajafungwa gerezani.)

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 (Hii ilikuwa kabla Yahya hajafungwa gerezani.)

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 (Hii ilikuwa kabla Yahya hajatiwa gerezani).

Tazama sura Nakili




Yohana 3:24
6 Marejeleo ya Msalaba  

Maana Herode alikuwa amemkamata Yohana, akamfunga, akamtia gerezani, kwa ajili ya Herodia, mke wa Filipo nduguye.


Basi Yesu aliposikia ya kwamba Yohana amefungwa, alikwenda zake mpaka Galilaya;


Kwa maana Herode mwenyewe alikuwa ametuma watu, akamkamata Yohana, akamfunga gerezani, kwa ajili ya Herodia, mkewe Filipo, ndugu yake, kwa kuwa amemwoa;


Yohana naye alikuwa akibatiza huko Ainoni, karibu na Salimu, kwa sababu huko kulikuwa na maji tele; na watu wakamwendea, wakabatizwa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo