Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 20:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

23 Na wowote mtakaowaondolea dhambi, wameondolewa; na wowote mtakaowafungia dhambi, wamefungiwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Mkiwasamehe watu dhambi zao, wamesamehewa; msipowasamehe, hawasamehewi.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Mkiwasamehe watu dhambi zao, wamesamehewa; msipowasamehe, hawasamehewi.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Mkiwasamehe watu dhambi zao, wamesamehewa; msipowasamehe, hawasamehewi.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Mkimwondolea mtu yeyote dhambi zake, zitaondolewa; na yeyote msiyemwondolea dhambi zake, hazitaondolewa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Mkimwondolea mtu yeyote dhambi zake, zitaondolewa, na yeyote msiyemwondolea dhambi zake, hazitaondolewa.”

Tazama sura Nakili




Yohana 20:23
11 Marejeleo ya Msalaba  

Nami nitakupa wewe funguo za ufalme wa mbinguni; na lolote utakalolifunga duniani, litakuwa limefungwa mbinguni; na lolote utakalolifungua duniani, litakuwa limefunguliwa mbinguni.


Amin, nawaambieni, yoyote mtakayoyafunga duniani yatakuwa yamefungwa mbinguni; na yoyote mtakayoyafungua duniani yatakuwa yamefunguliwa mbinguni.


Naye akiisha kusema hayo, akawavuvia, akawaambia, Pokeeni Roho Mtakatifu.


Huyo manabii wote humshuhudia, ya kwamba kwa jina lake kila amwaminiye atapata ondoleo la dhambi.


Petro akawaambia, Tubuni mkabatizwe kila mmoja kwa jina lake Yesu Kristo, mpate ondoleo la dhambi zenu, nanyi mtapokea kipawa cha Roho Mtakatifu.


Katika jina la Bwana wetu Yesu, ninyi mkiwa mmekusanyika pamoja na roho yangu, pamoja na uweza wa Bwana wetu Yesu;


Mmejengwa juu ya msingi wa mitume na manabii, naye Kristo Yesu mwenyewe ni jiwe kuu la pembeni.


Katika hao wamo Himenayo na Iskanda, ambao nimempa Shetani watu hao, ili wafundishwe wasimtukane Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo