Yohana 20:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC23 Na wowote mtakaowaondolea dhambi, wameondolewa; na wowote mtakaowafungia dhambi, wamefungiwa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema23 Mkiwasamehe watu dhambi zao, wamesamehewa; msipowasamehe, hawasamehewi.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND23 Mkiwasamehe watu dhambi zao, wamesamehewa; msipowasamehe, hawasamehewi.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza23 Mkiwasamehe watu dhambi zao, wamesamehewa; msipowasamehe, hawasamehewi.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu23 Mkimwondolea mtu yeyote dhambi zake, zitaondolewa; na yeyote msiyemwondolea dhambi zake, hazitaondolewa.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu23 Mkimwondolea mtu yeyote dhambi zake, zitaondolewa, na yeyote msiyemwondolea dhambi zake, hazitaondolewa.” Tazama sura |