Yohana 19:36 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC36 Kwa maana hayo yalitukia ili andiko litimie, Hapana mfupa wake utakaovunjwa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema36 Jambo hilo lilitendwa ili Maandiko Matakatifu yatimie: “Hapana hata mfupa wake mmoja utakaovunjwa.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND36 Jambo hilo lilitendwa ili Maandiko Matakatifu yatimie: “Hapana hata mfupa wake mmoja utakaovunjwa.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza36 Jambo hilo lilitendwa ili Maandiko Matakatifu yatimie: “Hapana hata mfupa wake mmoja utakaovunjwa.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu36 Kwa maana mambo haya yalitukia ili andiko litimie, lisemalo, “Hakuna hata mfupa wake mmoja utakaovunjwa.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu36 Kwa maana mambo haya yalitukia ili Maandiko yapate kutimia, yale yasemayo, “Hakuna hata mfupa wake mmoja utakaovunjwa.” Tazama sura |