Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 18:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

23 Yesu akamjibu, Kama nimesema vibaya, ushuhudie ule ubaya; bali kama nimesema vema, wanipigia nini?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Yesu akamjibu, “Kama nimesema vibaya, onesha huo ubaya; lakini ikiwa nimesema vema, mbona wanipiga?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Yesu akamjibu, “Kama nimesema vibaya, onesha huo ubaya; lakini ikiwa nimesema vema, mbona wanipiga?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Yesu akamjibu, “Kama nimesema vibaya, onesha huo ubaya; lakini ikiwa nimesema vema, mbona wanipiga?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Isa akamjibu akasema, “Kama nimesema jambo baya, shuhudia huo ubaya niliousema. Lakini kama nimesema yaliyo kweli, mbona umenipiga?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Isa akamjibu akasema, “Kama nimesema jambo baya, shuhudia huo ubaya niliousema. Lakini kama nimesema yaliyo kweli, mbona umenipiga?”

Tazama sura Nakili




Yohana 18:23
4 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini mimi nawaambia, Msishindane na mtu mwovu; lakini mtu akupigaye shavu la kulia, mgeuzie na la pili.


Basi, mimi Paulo mwenyewe nawasihi kwa upole na utaratibu wa Kristo; mimi niliye mnyenyekevu nikiwapo pamoja nanyi, bali nisipokuwapo ni mwenye ujasiri kwenu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo