Yohana 16:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC5 Lakini sasa mimi naenda zangu kwake yeye aliyenituma, wala hakuna mmoja wenu aniulizaye, Unakwenda wapi? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Lakini sasa namwendea yule aliyenituma; na hakuna hata mmoja wenu anayeniuliza: ‘Unakwenda wapi?’ Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Lakini sasa namwendea yule aliyenituma; na hakuna hata mmoja wenu anayeniuliza: ‘Unakwenda wapi?’ Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Lakini sasa namwendea yule aliyenituma; na hakuna hata mmoja wenu anayeniuliza: ‘Unakwenda wapi?’ Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 “Sasa mimi ninaenda kwake yeye aliyenituma, lakini hakuna hata aniulizaye, ‘Unaenda wapi?’ Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 “Sasa mimi ninakwenda kwake yeye aliyenituma, lakini hakuna hata aniulizaye, ‘Unakwenda wapi?’ Tazama sura |