Yohana 11:43 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC43 Naye akiisha kusema hayo, akalia kwa sauti kuu, Lazaro, njoo huku nje. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema43 Alipokwisha sema hayo, akaita kwa sauti kubwa: “Lazaro! Toka nje!” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND43 Alipokwisha sema hayo, akaita kwa sauti kubwa: “Lazaro! Toka nje!” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza43 Alipokwisha sema hayo, akaita kwa sauti kubwa: “Lazaro! Toka nje!” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu43 Baada ya kusema haya, Isa akapaza sauti yake, akaita, “Lazaro, njoo huku!” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu43 Baada ya kusema haya, Isa akapaza sauti yake, akaita, “Lazaro, njoo huku!” Tazama sura |