Yoeli 2:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC12 Lakini hata sasa, asema BWANA, nirudieni mimi kwa mioyo yenu yote, na kwa kufunga, na kwa kulia, na kwa kuomboleza; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 “Lakini hata sasa,” nasema mimi Mwenyezi-Mungu, “Nirudieni kwa moyo wote, kwa kufunga, kulia na kuomboleza. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 “Lakini hata sasa,” nasema mimi Mwenyezi-Mungu, “Nirudieni kwa moyo wote, kwa kufunga, kulia na kuomboleza. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 “Lakini hata sasa,” nasema mimi Mwenyezi-Mungu, “Nirudieni kwa moyo wote, kwa kufunga, kulia na kuomboleza. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 “Hata sasa,” asema Mwenyezi Mungu, “nirudieni kwa mioyo yenu yote, kwa kufunga, kwa kulia na kuomboleza.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 “Hata sasa,” asema bwana, “nirudieni kwa mioyo yenu yote, kwa kufunga, kwa kulia na kuomboleza.” Tazama sura |