Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 9:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

7 Aliamuruye jua, nalo halichomozi; Nazo nyota huzipiga mhuri.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Huliamuru jua lisichomoze huziziba nyota zisiangaze.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Huliamuru jua lisichomoze huziziba nyota zisiangaze.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Huliamuru jua lisichomoze huziziba nyota zisiangaze.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Husema na jua, nalo likaacha kuangaza; naye huizima mianga ya nyota.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Husema na jua, nalo likaacha kuangaza; naye huizima mianga ya nyota.

Tazama sura Nakili




Yobu 9:7
13 Marejeleo ya Msalaba  

Huufunga mkono wa kila binadamu; Ili watu wote aliowaumba wajue.


Maana nyota za mbinguni na matangamano havitatoa nuru yake; jua litatiwa giza wakati wa kucha kwake, na mwezi utaacha nuru yake isiangaze.


na watu wote wanaokaa duniani wamehesabiwa kuwa si kitu, naye hufanya kama atakavyo, katika jeshi la mbinguni, na katika hao wanaokaa duniani; wala hapana awezaye kuuzuia mkono wake, wala kumwuliza, Unafanya nini wewe?


Kwa maana, angalia, yeye aifanyaye milima, na kuumba upepo, na kumwambia mwanadamu mawazo yake, afanyaye asubuhi kuwa giza, na kupakanyaga mahali pa dunia palipoinuka; BWANA, Mungu wa majeshi, ndilo jina lake.


Tena itakuwa siku hiyo, asema Bwana MUNGU, nitalifanya jua litue wakati wa adhuhuri, nami nitaitia nchi giza wakati wa nuru ya mchana.


Lakini mara tu, baada ya dhiki ya siku zile, jua litatiwa giza, na mwezi hautatoa mwanga wake, na nyota zitaanguka kutoka mbinguni, na nguvu za mbinguni zitatikisika;


Ndipo Yoshua akanena na BWANA katika siku hiyo ambayo BWANA aliwatoa Waamori mbele ya wana wa Israeli; akasema mbele ya macho ya Israeli, Wewe Jua, simama kimya juu ya Gibeoni; Na wewe Mwezi, simama katika bonde la Aiyaloni.


Ndipo jua likasimama, na mwezi ukatulia, Hadi hilo taifa lilipokuwa limekwisha jilipiza kisasi juu ya adui zao. Hayo, je! Hayakuandikwa ndani ya kitabu cha Yashari? Basi jua likasimama kimya katikati ya mbingu, wala halikufanya haraka kuchwa kama muda wa siku nzima.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo