Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 9:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

6 Aitikisaye dunia itoke mahali pake, Na nguzo zake hutetemeka.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Yeye huitikisa dunia kutoka mahali pake, na nguzo zake zikatetemeka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Yeye huitikisa dunia kutoka mahali pake, na nguzo zake zikatetemeka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Yeye huitikisa dunia kutoka mahali pake, na nguzo zake zikatetemeka.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Aitikisa dunia kutoka mahali pake na kuzifanya nguzo zake zitetemeke.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Aitikisa dunia kutoka mahali pake na kuzifanya nguzo zake zitetemeke.

Tazama sura Nakili




Yobu 9:6
17 Marejeleo ya Msalaba  

Nguzo za mbingu zatetemeka, Na kustaajabu kwa kukemea kwake.


Enyi milima, ndio mruke kama kondoo dume? Enyi vilima, kama wana-kondoo?


Tetemeka, Ee nchi, mbele za uso wa Bwana, Mbele za uso wa Mungu wa Yakobo.


Ingawa dunia na wote wakaao humo wataharuki, Mimi mwenyewe nimezisimamisha nguzo zake.


Na watu wataingia ndani ya pango za majabali, na ndani ya mashimo ya nchi, mbele za utisho wa BWANA na utukufu wa enzi yake, atakapoondoka ili aitetemeshe mno dunia.


ili aingie ndani ya pango za majabali, na ndani ya tundu za miamba iliyopasuka, mbele za utisho wa BWANA na utukufu wa enzi yake, atakapoondoka ili aitetemeshe mno dunia.


Tazama, BWANA ameifanya dunia kuwa tupu, aifanya ukiwa, aipindua, na kuwatawanya wakaao ndani yake.


Niliiangalia milima, na tazama, ilitetemeka, na milima yote ilisogea huku na huko.


Nchi inatetemeka mbele yao; mbingu zinatetemeka; jua na mwezi hutiwa giza, na nyota huacha kuangaza;


Sema na Zerubabeli, mtawala wa Yuda, ukisema, Nitazitikisa mbingu na dunia;


Kwa maana BWANA wa majeshi asema hivi, Kwa mara nyingine, kitambo kidogo tu, nitazitikisa hizo mbingu, na hii nchi, na bahari, na nchi kavu;


ambaye sauti yake iliitetemesha nchi wakati ule; lakini sasa ameahidi akisema, Mara moja tena nitatetemesha si nchi tu, bali na mbingu pia.


Kisha nikaona kiti cha enzi, kikubwa, cheupe, na yeye aketiye juu yake; ambaye nchi na mbingu zikakimbia uso wake, na mahali pao hapakuonekana.


Humwinua mnyonge kutoka mavumbini, Humpandisha mhitaji kutoka jaani, Ili awaketishe pamoja na wakuu, Wakakirithi kiti cha enzi cha utukufu; Kwa maana nguzo za dunia zina BWANA, Naye ameuweka ulimwengu juu yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo