Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 9:33 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

33 Hapana mwenye kuamua katikati yetu, Awezaye kutuwekea mkono sote wawili.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 Hakuna msuluhishi kati yetu, ambaye angeamua kati yetu sisi wawili.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 Hakuna msuluhishi kati yetu, ambaye angeamua kati yetu sisi wawili.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 Hakuna msuluhishi kati yetu, ambaye angeamua kati yetu sisi wawili.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 Laiti pangekuwa na mtu wa kutupatanisha, aweke mkono wake juu yetu sote wawili,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 Laiti angelikuwepo mtu wa kutupatanisha kati yetu, aweke mkono wake juu yetu sote wawili,

Tazama sura Nakili




Yobu 9:33
8 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini akiwapo malaika pamoja naye, Mpatanishi, mmoja katika elfu, Ili kumwonesha binadamu hayo yampasayo;


Kama tukitaja nguvu za mashujaa, tazama yupo hapo! Kama tukitaja hukumu, ni nani atakayemwita mahakamani?


Akasema ya kuwa atawaangamiza Kama Musa, mteule wake, asingalisimama, Mbele zake na kusimama palipobomoka, Ili aigeuze hasira yake asije akawaangamiza.


Umenizingira nyuma na mbele, Ukaniwekea mkono wako.


Haya, njoni, tusemezane, asema BWANA. Dhambi zenu zijapokuwa nyekundu sana, zitakuwa nyeupe kama theluji; zijapokuwa nyekundu kama damu, zitakuwa kama sufu.


Mtu mmoja akimkosea mwenzake, Mungu atamhukumu; lakini mtu akimkosea BWANA, ni nani atakayemtetea? Lakini hawakuisikia sauti ya baba yao, kwa sababu BWANA amekusudia kuwaua.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo