Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 9:29 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

29 Nitahukumiwa kuwa ni mkosa; Ya nini basi nitaabike bure?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 Ikiwa nitahukumiwa kuwa na hatia, ya nini basi nijisumbue bure?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 Ikiwa nitahukumiwa kuwa na hatia, ya nini basi nijisumbue bure?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 Ikiwa nitahukumiwa kuwa na hatia, ya nini basi nijisumbue bure?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 Kwa kuwa nimeonekana mwenye hatia, kwa nini basi nitaabishwe bure?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 Kwa kuwa nimeonekana mwenye hatia, kwa nini basi nitaabishwe bure?

Tazama sura Nakili




Yobu 9:29
12 Marejeleo ya Msalaba  

Nitamwambia Mungu, Usinihukumie makosa; Nijulishe kwa nini unapingana nami.


Ujapojua ya kuwa mimi si mwovu; Wala hapana awezaye kuokoa kutoka kwa mkono wako?


Tazama, nayajua mawazo yenu, Na mipango miovu mnayoazimia kufanya juu yangu.


Tazama, yuaona sababu za kufarakana nami, Hunihesabu kuwa ni adui yake;


Ingawa mimi ni mwenye haki, kinywa changu mwenyewe kitanihukumu; Ingawa mimi ni mkamilifu, kitanishuhudia kuwa mimi ni mpotovu.


Hayo yote ni mamoja; kwa hiyo nasema, Yeye huangamiza wakamilifu na waovu pia.


BWANA hatamwacha mkononi mwake, Wala hatamwacha alaumiwe atakapohukumiwa.


Hakika nimejisafisha moyo wangu bure, Na kunawa mikono yangu nisitende dhambi.


Lakini ulisema, Sina hatia mimi; bila shaka hasira yake imegeuka na kuniacha. Tazama, nitaingia hukumuni pamoja nawe, kwa sababu unasema, Sikutenda dhambi mimi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo