Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 9:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

28 Mimi ninayaogopa mateso yangu yote, Najua kuwa hutanihesabu kuwa sina hatia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Lakini nayaogopa maumivu yangu yote, kwani najua Mungu hataniona kuwa sina hatia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Lakini nayaogopa maumivu yangu yote, kwani najua Mungu hataniona kuwa sina hatia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Lakini nayaogopa maumivu yangu yote, kwani najua Mungu hataniona kuwa sina hatia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 bado ninahofia mateso yangu yote, kwa kuwa ninajua hutanihesabu kuwa sina hatia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 bado ninahofia mateso yangu yote, kwa kuwa ninajua hutanihesabu kuwa sina hatia.

Tazama sura Nakili




Yobu 9:28
13 Marejeleo ya Msalaba  

Nikifanya dhambi, ndipo waniangalia, Wala hutaniachilia na uovu wangu.


Lakini sasa wazihesabu hatua zangu; Je! Huchungulii dhambi yangu?


Nijapokuwa nanena, huzuni yangu haitulizwi; Nijapokuwa najizuia, nimepunguziwa kitu gani?


Hata nikumbukapo nahuzunika, Na utisho wanishika mwilini mwangu.


Maana jambo hilo nichalo hunipata, Nalo linitialo hofu hunijia.


Tazama, yuaona sababu za kufarakana nami, Hunihesabu kuwa ni adui yake;


Nawe, je! Mbona hunisamehe makosa yangu, Na kuniondolea maovu yangu? Kwa kuwa sasa nitalala mavumbini; Nawe utanitafuta kwa bidii, lakini sitakuwapo.


Kweli najua kuwa ndivyo hivyo; Lakini mtu huwaje mwenye haki mbele za Mungu?


Mwili wangu unatetemeka kwa kukucha Wewe, Nami ninaziogopa hukumu zako.


BWANA, kama Wewe ungehesabu maovu, Ee Bwana, nani angesimama?


Usilitaje bure jina la BWANA, Mungu wako, maana BWANA hatamhesabia kuwa hana hatia mtu alitajaye jina lake bure.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo