Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 9:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

16 Kama ningemwita, naye akaniitikia; Hata hivyo singeamini kuwa amesikiza sauti yangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Hata kama ningemwita naye akajibu, nisingeweza kuamini kuwa ananisikiliza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Hata kama ningemwita naye akajibu, nisingeweza kuamini kuwa ananisikiliza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Hata kama ningemwita naye akajibu, nisingeweza kuamini kuwa ananisikiliza.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Hata kama ningemwita kwenye shauri, naye akakubali, siamini kama angenisikiliza.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Hata kama ningemwita kwenye shauri, naye akakubali, siamini kama angenisikiliza.

Tazama sura Nakili




Yobu 9:16
12 Marejeleo ya Msalaba  

Basi uite wakati huo, nami nitaitika; Au, niache ninene mimi, nawe unijibu.


Walipokata tamaa nikacheka nao; Na mwanga wa uso wangu hawakuuangusha.


Ambaye, nijapokuwa mimi ni mwenye haki, siwezi kumjibu; Ni lazima nimwombe mshitaki wangu anihurumie.


Yeye anipondaye kwa dhoruba, Na kuyaongeza majeraha yangu pasipokuwa na sababu.


BWANA alipowarejesha mateka wa Sayuni, Tulikuwa kama waotao ndoto.


Katika shida yangu nilimwita BWANA, Na kumlalamikia Mungu wangu. Akaisikia sauti yangu hekaluni mwake, Kilio changu kikaingia masikioni mwake.


Musa akawaambia wana wa Israeli maneno haya; lakini hawakumsikiliza Musa kwa ajili ya uchungu wa moyo, na kwa ajili ya utumwa mgumu.


Basi walipokuwa hawajaamini kwa furaha, huku wakistaajabu, aliwaambia, Mna chakula chochote hapa?


Gideoni akamwambia, Ee Bwana wangu, ikiwa BWANA yu pamoja nasi, mbona mambo haya yote yametupata? Yako wapi matendo yake ya ajabu, waliyotuhadithia baba zetu, wakisema, Je! Siye BWANA, aliyetuleta huku kutoka Misri? Ila sasa ametutupa, naye ametutia katika mikono ya Midiani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo