Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 8:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

4 Kwamba watoto wako wamemfanyia dhambi, Naye amewatia mkononi mwa kosa lao;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Kama watoto wako wamemkosea Mungu, yeye amewalipiza matokeo ya uhalifu wao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Kama watoto wako wamemkosea Mungu, yeye amewalipiza matokeo ya uhalifu wao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Kama watoto wako wamemkosea Mungu, yeye amewalipiza matokeo ya uhalifu wao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Watoto wako walipomtenda dhambi, aliwapa adhabu ya dhambi yao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Watoto wako walipomtenda dhambi, aliwapa adhabu ya dhambi yao.

Tazama sura Nakili




Yobu 8:4
8 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini watu wa Sodoma walikuwa wabaya, wenye kufanya dhambi nyingi sana juu ya BWANA.


Basi ilikuwa, hapo hizo siku za karamu zao zilipokuwa zimetimia, Ayubu hutuma kwao akawatakasa, kisha akaamka asubuhi na mapema, na kusongeza sadaka za kuteketezwa kama hesabu yao wote ilivyokuwa; kwani Ayubu alisema, Pengine hawa wanangu wamefanya dhambi, na kumkufuru Mungu mioyoni mwao. Ndivyo alivyofanya Ayubu sikuzote.


Watoto wake wako mbali na wokovu, Nao wamesongwa langoni, Wala hapana atakayewaponya.


Nikawaacha wakaenda kwa ukaidi wa mioyo yao, Waenende katika mashauri yao.


Tazama, roho zote ni mali yangu; kama vile roho ya baba ni mali yangu, ndivyo ilivyo roho ya mwana mali yangu; roho ile itendayo dhambi itakufa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo