Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 8:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

20 Tazama, Mungu hatamtupa mtu mkamilifu, Wala hatawathibitisha watendao uovu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 “Tazama! Mungu hatamkataa mtu asiye na hatia, wala kuwasaidia waovu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 “Tazama! Mungu hatamkataa mtu asiye na hatia, wala kuwasaidia waovu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 “Tazama! Mungu hatamkataa mtu asiye na hatia, wala kuwasaidia waovu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 “Hakika Mungu hamkatai mtu asiye na hatia, wala kuitia nguvu mikono ya mtenda maovu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 “Hakika Mungu hamkatai mtu asiye na hatia, wala kuitia nguvu mikono ya mtenda mabaya.

Tazama sura Nakili




Yobu 8:20
10 Marejeleo ya Msalaba  

La hasha! Usifanye hivyo, ukamwue mwenye haki pamoja na mwovu, mwenye haki awe kama mwovu. Hasha! Mhukumu ulimwengu wote asitende haki?


Kwamba mwovu huachiliwa katika siku ya msiba? Na kuongozwa nje katika siku ya ghadhabu?


Kumbuka, tafadhali, ni nani aliyeangamia akiwa hana hatia? Au ni wapi hao waelekevu walikatiliwa mbali?


Hayo yote ni mamoja; kwa hiyo nasema, Yeye huangamiza wakamilifu na waovu pia.


Walilia, naye BWANA akasikia, Akawaponya kutoka kwa taabu zao zote.


Ajapojikwaa hataanguka chini, Maana BWANA humshika mkono na kumtegemeza.


Umwangalie sana mtu mkamilifu, Umtazame mtu mnyofu, Maana mwisho wake mtu huyo ni amani.


Kwa kuwa BWANA hatawatupa watu wake, Wala hutauacha urithi wake,


Aendaye kwa unyofu huenda salama; Bali apotoshaye njia zake atajulikana.


Haya ndiyo BWANA amwambiayo Koreshi, masihi wake, ambaye nimemshika mkono wake wa kulia, ili kutiisha mataifa mbele yake, nami nitalegeza nguvu za wafalme; ili kufungua milango mbele yake, hata malango hayatafungwa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo