Yobu 8:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC2 Wewe utanena maneno haya hadi lini? Maneno ya kinywa chako yatakuwa kama upepo mkuu hadi lini? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 “Utasema mambo haya mpaka lini? Mpaka lini maneno yako yatakuwa matupu kama upepo? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 “Utasema mambo haya mpaka lini? Mpaka lini maneno yako yatakuwa matupu kama upepo? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 “Utasema mambo haya mpaka lini? Mpaka lini maneno yako yatakuwa matupu kama upepo? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 “Hata lini wewe utasema mambo kama haya? Maneno yako ni kama upepo mkuu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 “Hata lini wewe utasema mambo kama haya? Maneno yako ni kama upepo mkuu. Tazama sura |